BurudaniUncategorized

Picha :Nyumba aliyokuwa akiishi Tupac kuuzwa

Akiwa amefariki kwa zaidi ya miaka 20, rapper Tupac bado yupo midomoni mwa watu kila siku.

Hit maker huyo wa ngoma ‘Dear mama’ alitoka jela mwaka 1995 na akafikia katika mjengo wake ulipo Calfonia maeneo ya The San Fernando Valley, stori ni kwamba nyumba hiyo imeingia sokoni hii ni ka mujibu wa mtandao wa TMZ.

Hizi ni baadhi ya picha za nyumba hiyo.

Mjengo huo utauzwa kwa kiasi cha dola milioni 2.65 ambayo ina vyumba sita vya kulala, huku baaadhi ya vitu vikiwa vimeechwa kama vilivyo kwa ajili yab kumkumbuka msanii huyo.

Na Laila Sued

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents