Bongo5 Exclusives
Picha: Orodha ya maswahiba bora zaidi kwenye Bongo Flava/Hip Hop
Mara nyingi utawakuta pamoja, hutembea pamoja, hufanya kazi pamoja na urafiki wao umekuwa ni kama undugu. Hawa ni miongoni mwa maswahiba bora zaidi kwenye muziki Tanzania.
Man Dojo na Domo Kaya
AY na Mwana FA
Amini na Barnaba
TID na marehemu Ngwair
Joh Makini na G-Nako
Feza Kessy na Vanessa Mdee
H.Baba na Pasha
Mr Blue na Nyandu Tozi
Young Killa na Stamina
Kala Jeremiah na Roma