Picha
Picha: P-Square waingia rasmi kwenye biashara ya mafuta
Baada ya kuhakikisha kuwa wana mijengo ya uhakika Nigeria na Marekani, hatimaye mapacha wa P-Square wameingia rasmi kwenye biashara ya mafuta.
Kupitia Instagram, Peter Okoye amepost picha inayoonesha wakiwa bandari kupokea mapipa kadhaa ya mafuta tayari kwa biashara kuanza.
“Hustle must continue…. Oil business tinz….. No time,” ameandika kwenye moja ya picha.
“Nmmhh … More business #Oilsector.”
Na katika picha nyingine ameandika, “When u start from the bottom..Who knows? God bless ma hustle. Wink.
Wakati huo huo, kundi hilo linatarajia kupiga show nchini Malawi kesho Ijumaa.