Picha
Picha: Party ya kuwapongeza washindi wa B-Ball Kitaa Tournament 2013
Washindi wa mashindano ya kwanza ya B-Ball Kitaa jana wamepongezwa kwenye party ya nguvu iliyofanyika Samaki Samaki (Posta) jijini Dar es Salaam. Wachezaji hao wa Temeke waliibuka washindi kwenye fainali iliyofanyika wiki iliyopita kwenye viwanja vya Gymkhana. Hizi ni picha za party hiyo.
John Mahundi (mwenye suti), Karabani na Nchakalih wakitoa shukrani zao kwa support waliyoipata
Karabani (mmoja wa waandaji wa B-Ball Kitaa
Kisoki (katikati) akiwa na wachezaji wenzie
Mad Ice
Majani na Fid wakiteta jambo
Mchezaji akisaini mpira wa kikapu
Mchezaji wa kike wa basketball wa timu iliyoshinda
Mrembo akifuatilia party
Muigizaji wa tamthilia ya 69 Records
Nchakalih akiwatambulisha mabingwa
Warembo waliohudhuria party