Picha

Picha: Profesa Jay ahudhuria kilinge cha Tamaduni Muzik

IMG_3919 - Copy (640x427)

Leo rapper mkongwe Joseph Haule aka Profesa Jay alikuwa mgeni wa heshima kwenye Kilinge cha kila Jumamosi kinachoandaliwa na Tamaduni Muzik katika ukumbi wa Msasani Club.

Profesa Jay ameweza kushuhudia performance kali kutoka kwa mamc mbalimbali wa Tamaduni Muziki wakiwemo Nikki Mbishi, One the Incredible, Songa, P the MC, Zaiid, Ghetto Ambassador na wengine. Profesa alidata zaidi baada ya kumsikia Nikki Mbishi akiperform nyimbo zake zamani mwanzo mwisho ukiwemo Jina Langu. Pia kwenye kilinge hicho rapper Wakazi alitumbuiza.

Hizi ni baadhi ya picha za show ya leo.

IMG_3949 (640x427)

IMG_3946 (640x427)

IMG_3945 (640x427)

IMG_3944 (640x427)

IMG_3943 (640x427)

IMG_3941 (640x427)

IMG_3940 (640x427)

IMG_3939 (640x427)

Mansu-LI
Mansu-LI
Nikki Mbishi na Profesa Jay
Nikki Mbishi na Profesa Jay
Wakazi akichana
Wakazi akichana
Nikki Mbishi akipiga story na Profesa
Nikki Mbishi akipiga story na Profesa
Nikki Mbishi baada ya kuperform
Nikki Mbishi baada ya kuperform
P the MC
P the MC

IMG_3923 - Copy (640x427)

Zaiid na washkaji
Zaiid na washkaji
Profesa Jay
Profesa Jay
Profesa Jay na Wakazi
Profesa Jay na Wakazi
Wakazi
Wakazi
Mashabiki
Mashabiki
Nchakalih
Nchakalih

IMG_3909 - Copy (640x427)

IMG_3904 (640x427)

IMG_3903 (640x427)

Nikki Mbishi akiperform
Nikki Mbishi akiperform

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents