HabariUncategorized

Picha : Rais Magufuli afanya mkutano na Kenyatta na Salva Kiir wa Sudan ya Kusini

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, akiwa mjini Kampala ambapo alihudhuria Mkutano Maalum wa Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), leo (Ijumaa) amefanya mazungumzo na Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta pamoja na Rais wa Sudan ya Kusini, Salva Kiir.


Rais Magufuli akiwa na Uhuru Kenyatta katika mkutano wao waliofanya mjini Kampala

Rais Magufuli ameonekana akiwa mwenye furaha kubwa kwenye picha mabazo amepiga akiwa na marais hao kwa wakati tofauti tofauti. Hizi ni picha zaidi za marais hao.


Rais Magufuli akiwa katika mazungumzo na Rais wa Sudan ya Kusini, Salva Kiir

Picha na Michuzi

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents