Habari

Picha: Rais Magufuli alivyozindua kituo cha uwekezaji cha JWTZ na viwanda vya Suma JKT

Leo Alhamisi ya Mei 17, Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amezindua kituo cha uwekezaji cha Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) pamoja na viwanda vya maji na ushonaji vinavyomilikiwa na Suma JKT vilivyopo jijini Dar es Salaam.

Tazama picha zaidi hapa chini.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents