HabariPicha

Picha: Rais Magufuli apokea hati za utambulisho za mabalozi sita

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli amepokea hati za utambulisho toka kwa mabalozi sita walioteliewa kuziwakilisha nchi zao hapa nchini.

Rais Magufuli akipokea hati ya utambulisho toka kwa balozi mpya wa Nigeria nchini Sahabu Gada.

Rais Magufuli akipokea hati ya utambulisho toka kwa balozi mpya wa Poland nchini Krysztof Buzalski.

Rais Dkt Magufuli akipokea hati ya utambulisho toka kwa balozi mpya wa Uturuki-TZ Ali Davutoglu.

Rais Magufuli akipokea hati ya utambulisho toka kwa balozi mpya wa Ufaransa-TZ Frederic Clavier.

Rais Magufuli akipokea hati ya utambulisho toka kwa balozi mpya wa Israel Noah Gal Gendler.

Rais Magufuli akipokea hati ya utambulisho toka kwa balozi mpya wa Australia nchini Alison Chartres.

Picha zote na Ikulu

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents