Habari
Picha: Rais Magufuli na viongozi mbalimbali wa dini katika futari ya Ikulu
Rais Dkt John Pombe Magufuli alijumuika na viongozi mbalimbali wa dini kwenye futari aliyoandaa Ikulu jijini Dar es Salaam Jumanne, Juni 14, 2016. Tazama picha za futari hiyo hapo chini.