HabariUncategorized
Picha: Rais Magufuli ndani ya chumba cha Matangazo TBC
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli amemaliza ziara yake katika ofisi za Shirika la Utangazaji la TBC ambapo alipokwenda kuzungumza na uongozi wa shirika hilo na wafanyakazi.
Rais John Magufuli amemaliza ziara yake katika ofisi za Shirika la Utangazaji la TBC. Ambapo Rais Magufuli amekwenda ofisi hizo leo asubuhi na kuzungumza na uongozi wa TBC pamoja na kusikiliza kero za wafanyakazi.
Picha na Ikulu:
Na Emmy Mwaipopo