Bongo Movie

Picha: Ray Kigosi aingia location kushoot movie mpya ‘Chicken Head’

Vincent Kigosi aka Ray, yupo location kutengeneza mzigo mpya alioupa jina, Chicken Head.

Ray ambaye ni CEO wa RJ Company inayoisimamia filamu hiyo, ameshare baadhi ya picha za behind the scenes za filamu hiyo ambayo tafsiri yake kwa Kiswahili ni ‘Kichwa cha Kuku’

21921fa6fdb311e28deb22000ae911d0_7
Ray akiwa na msichana aliyeigiza mke wake kwenye filamu hiyo

c76fbf34fdca11e28a0c22000a9d0ded_7

76c093e2fdcf11e2996f22000a1fbc6f_7

d470d52cfddb11e2ba6522000aaa0486_7

f533c41efdda11e2974122000a9e2969_7

f74020befdca11e2986122000a9f194c_7
Mke wa Ray wa kwenye filamu hiyo

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents