Bongo Movie
Picha: Ray Kigosi aingia location kushoot movie mpya ‘Chicken Head’
Vincent Kigosi aka Ray, yupo location kutengeneza mzigo mpya alioupa jina, Chicken Head.
Ray ambaye ni CEO wa RJ Company inayoisimamia filamu hiyo, ameshare baadhi ya picha za behind the scenes za filamu hiyo ambayo tafsiri yake kwa Kiswahili ni ‘Kichwa cha Kuku’
Ray akiwa na msichana aliyeigiza mke wake kwenye filamu hiyo
Mke wa Ray wa kwenye filamu hiyo