Picha
Picha: Red Carpet – Under-30 Youth Awards 2013
Hizi ni baadhi ya picha za red carpet ya tuzo za vijana waliochini ya miaka 30 zilizotolewa Jumamosi, August 17 kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam.
January Makamba akiwa na baadhi ya washindi wa tuzo hizo, katikati ni Awadh Milasi (YOA)
January Makamba akiwa na wafanyakazi wa YOA
January Makamba akiongea na Bongo5
Kidboy
Glory, Seba na Jeff
Vanessa Mdee
Andrew Mahiga
Jokate akiwa na tuzo yake, Fashion
January Makamba akiwa na Jokate Mwegelo
Miss East Africa Jocelyne Maro akiwa na Miss Tanzania anayeshikilia taji Bridgit Alfred