Mitindo

Picha: Red Carpet ya ‘The Black Tie’ ya Wema Sepetu

Usiku wa Jumamosi hii katika ukumbi wa King Solomon jijini Dar es salaam mastaa wa muziki, filamu pamoja na wadau mbalimbali walivunja makabati ya nguo kwa kuvaa nguo kali ili kuonyeshana umwamba katika Red Carpet ya show ya ‘The Black Tie’ iliyoandaliwa na staa wa filamu, Wema Sepetu.
Mama Wema akihojiwa na Lilian Kamazima
Mama Wema akihojiwa na Miss Tanzania 2014, Lilian Kamazima

Show hiyo ambayo ilianza majira ya usiku, ilipambwa na mkali wa masauti, Christian Bella huku akisindikizwa na wasanii mbalimbali. Angalia picha za red Carpet.

IMG_9734
Steve Nyerere akiwa na wasanii wenzake

Esha Buheti akihojiwa
Esha Buheti akikaribishwa katika red carpet

Faiza akihojiwa na TV 1
Faiza Ally

Faiza akihojiwa na TV 1
Faiza Ally akiwa na shabiki wake

Linah akihojiwa
Linah akihojiwa
Linex
Linex
Esha Buheti
Esha Buheti

Miss Tanzania 2014, Lillian Kamazima
Miss Tanzania 2014, Lillian Kamazima

Utampenda Bi. Linah Sanga
Utampenda Bi. Linah Sanga

Steve Nyerere akiwa na wasanii wenzake
Steve Nyerere na wadau wake
IMG_9608

IMG_9612

IMG_9614

IMG_9629

IMG_9641

IMG_9642

IMG_9645

IMG_9646

IMG_9649

IMG_9656

IMG_9684

IMG_9699

IMG_9724

IMG_9734

IMG_9749

IMG_9660

IMG_9662

IMG_9668

IMG_9672

IMG_9673

IMG_9683

IMG_9716

IMG_9726

IMG_9730

IMG_9732

IMG_9733

IMG_9740

IMG_9742

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents