Michezo

Picha: Rihanna, Kendall Jenner na Gigi Hadid washuhudia mechi ya PSG vs Marseille

Warembo wa Marekani, Rihanna, Kendall Jenner na Gigi Hadid jana walimshuhudia mchezaji Zlatan Ibrahimovic akiwa mfungaji wa magoli mengi zaidi wa muda wote wa Paris Saint-Germain baada ya kupachika mabao 2-1 dhidi ya mahasimu wao Marseille kwenye mchezo wa Ligue 1.

2D18364700000578-0-image-a-57_1443996385261
Warembo Kendall Jenner na Gigi Hadid wakishuhudia mechi hiyo

Akiwa na magoli 110 aliyofunga akiwa na PSG kwenye mechi zote, Ibrahimovic ameivunja rekodi ya Pedro Pauleta ya magoli ya 109.

2D18479E00000578-0-image-a-58_1443996386474
Rihanna alikuwa mmoja wa mchezo huo

2D17E76D00000578-0-image-a-32_1443995758869
Mshambuliaji raia wa Sweden, Zlatan Ibrahimovic amekuwa mfunga wa mabao mengi zaidi wa PSG. Jana alifunga mabao 2

2D17A7DD00000578-0-image-a-86_1443996817373
Beki wa PSG David Luiz (kulia) akisherehekea na mlinda mlango Kevin Trapp baada ya kuudaka mkwaju katika mechi dhidi ya Marseille

2D17F4E800000578-0-image-a-35_1443995771989

2D16695B00000578-0-image-m-66_1443996513940

2D16696E00000578-0-image-a-67_1443996520746

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents