Michezo
Picha: Robinho aongoza utambulisho wa jezi mpya wa timu yake ya Atletico Mineiro na wa rembo bomba
Mshambuliaji wa zamani wa Real Madrid na Man City, Robinho ambaye hivi sasa anaichezea Klabu ya Atletico Mineiro ya Brazil. Timu hiyo imetambulisha jezi zake mpya kwa mtindo wa aina yake kwa mrembo mmoja mmjo kupita na baadaye walipita wachezaji ambao waliongozwa na Robinho ,30, kupita jukwaani wakiwa na jezi pamoja na bendera.