Michezo

Picha: Ronda Rousey asema ‘nitarejea’, ni baada ya kupigwa kwa KO ya aibu na Holly Holm

Bondia Ronda Rousey amezungumza kwa mara ya kwanza baada ya kushindwa kwa knock-out Jumapili ya jana na Holly Holm.

2E757F5600000578-3319107-image-a-41_1447569602724
Teke la Holly Holm lililomdondosha Ronda Rousey chini

Rousey alishindwa vibaya baada ya kuangushwa kwa teke kali la Holm kwenye raundi ya pili ya mchezo huo wa UFC uliovunja rekodi kwa kushuhudiwa na 56,214 huko Melbourne, Australia.

2E75796A00000578-3319107-image-m-25_1447568165431

Hilo ni pambano la kwanza kwa bondia huyo kushindwa.

1115-ronda-cut-getty-4

Baada ya pambano hilo bondia huyo alipelekwa kwenye hospitali ya mjini humo na kushindwa kuhudhuria mkutano na waandishi wa habari.

2E7599C400000578-3319107-image-a-64_1447570613011

Kupitia Instagram Rousey aliandika: Nilitaka kumshukuru kila mmoja kwa upendo na support,” alisema Rousey.

“Nashukuru kwa wasiwasi wenu kuhusu afya yangu lakini niko salama. Kama nilivyosema mwanzo, ntapumzika kwa muda kiasi, lakini nitarejea.”

2E75896600000578-3319107-image-m-90_1447572377781

Rais wa UFC Dana White amedai kuwa uwezekano wa kuwepo mechi ya pili kati ya mabondia hao ni mkubwa.

2E75840A00000578-3319107-image-a-89_1447572329087

2E757CC600000578-3319107-image-m-26_1447568209589

2E7562C100000578-0-image-a-17_1447567037696

2E7583C600000578-3319107-image-a-59_1447570551913

2E7599B800000578-3319107-image-a-65_1447570615786

2E7599C400000578-3319107-image-a-64_1447570613011

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents