Picha: Serengeti Fiesta 2013 – Mambo yalivyokuwa Morogoro
Wakazi wa Mji kasoro bahari, Morogoro jana walipata burudani ya show ya Serengeti Fiesta 2013 iliyofanyikia katika uwanja wa Jamhuri. Tazama picha ya jinsi mambo yalivyokuwa.
Kama kawaida yake Shilole alimpata kijana wa kucheza naye stejini
Young Killer akitumbuiza kwenye Serengeti Fiesta Morogoro
Diamond akicheza mtindo wake Ngololo
Chege na kundi zima la Wanaume Family
Anajiita Shiloliiiiiii ndani ya Moro
Stamina akifanya show nyumbani kwao Morogoro
Shilole akicheza na dancers wake
Recho jukwaani
Nay wa Mitego akicheza kwa style yake mpya
Nick wa Pili akiwapa burudani wakazi wa Morogoro
Nay na Diamond wakiwa kwenye mabishano ya muziki gani
Mwanadada toka THT, Linah Sanga akitumbuiza
Mwanadada aliyepatikana kupitia Serengeti Super Nyota, Naylee akitoa burudani Morogoro
Mpoki akisoma jina la mshindi wa pikipiki Morogoro
Nay wa Mitego na wachezaji wake
Diamond na Nay wakitumbuiza wimbo wao, Muziki Gani