Picha
Picha: Show ya kwanza ya Q-Chief baada ya miaka mitano (New Maisha Club)
Msanii mkongwe nchini Abubakar Katwila aka Q-Chief jana Jumaili alifanya show ya kwanza baada ya miaka mitano katika ukumbi wa New Maisha Club jijini Dar es Salaam. Katika show hiyo, Q-Chief alisindikizwa na wasanii wenzie ambao ni pamoja na Banana, H-Baba, Beka, Cassim, Barnaba na wengine.
Hizi ni baadhi ya picha za show hiyo.