Msanii kutoka WCB, Harmonize weekend hii alikuwa na tour nyumbani kwao Mtwara, licha ya show pia alitembelea Hospitali ya Mkoa na kuwapa pole wagonjwa pamoja na fedha. Hapa tumekuwekea baadhi ya picha kutoka kwenye show zake mbili alizofanya ambapo pia aliongozana na Young Killer, Shilole na Aunty Ezekeli.
By Peter Akaro