Burudani

Picha: Studio ya Rayvanny yakamilika

Ikiwa imepita miezi miwili tangu boss wa WCB, Diamond Platnumz aweke wazi kuwa Rayvanny anatarajia kufungua studio hatimaye imekamilika.

Kama ilivyokwisha tangazwa kuwa prodyuza Rash Don ndiye atahusika katika kusuka beat ndani ya studio hiyo, hadi sasa wasanii kama Dogo Janja na Madee wameonekana wakijiachia ndani ya studio hiyo, pengine kuna kazi inakuja. Tazama picha zaidi.


Picha na Mtandao

Na Laila Sued

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents