Burudani
Picha: Tamasha la ‘Castle Lite Unlocks’ lilivyofanyika Leaders
Hatimaye tamasha lililokuwa likisubiriwa kwa hamu kubwa kwa kipindi kirefu la Castle Lite Unlocks limefanyika usiku wa Jumamosi hii ambapo kubwa zaidi ameshuhudiwa rapper Future kutoka Marekani na Cassper Nyovest wa Afrika Kusini wakitumbuiza kwa mara ya kwanza hapa nchini.
Tamasha hilo ambalo limefanyika katika viwanja vya Leaders, wasanii kibao wametumbuiza akiwemo Diamond Platnumz, Weusi, Navy Kenzo na Vanessa Mdee. Hizi ni baadhi ya picha za tamasha hilo.