Picha: Tamasha la Matumaini – Mechi Bongo Fleva vs Bongo Movie
Hizi ni picha za mechi ya wanamuziki wa Bongo Flava na waigazaji wa Bongo Movies ambapo Bongo Flava waliibuka na ushindi 2-1 kwa njia ya penalti.
Abdu kiba na M 2 the P
Bongo Movie wakipasha misuli
Bongo movie wakishangilia baada ya kusawazisha
Bongo Movie wakitoka vyumbani kuingia uwanjani
“Duu!Ben anaonekana muoga kweli maana mmhh!!
Nahodha wa Bongo Fleva, Hamis aka’H Baba’ akipokea kombe kutoka kwa Mhe. William Ngeleja
H.baba na mfungaji wa goli la Bongo fleva Goddy Mokonzi wakishangilia
Kalapina
M 2 the P akionyesha umaridadi wake uwanjani
Mchezani mmoja wa bongo fleva akiwa chini
Ray akiwa chini
Ray akiwa katikati ya uwanja kwa kuanzisha mpira
Steve Nyerere alipokuwa akitoka
“Wachezaji wa Bongo Fleva wakijiandaa kuingia uwanjani
Wachezaji wa bongo Movie wakielekezana jambo hapo
Wachezaji wa Bongo Movie wakiwa katika picha ya pamoja
wakitoka mapumziko bongo flava walikuwa wakiongoza kwa goli moja kwa bila
Wastara alikuwa jukwaani akiangalia mpambano