Picha: Tamasha la Matumaini – Ndondi na burudani iliyotolewa
Aunt ezekiel akikumbatiana na Ester Bulaya baada ya mpambano
Aunt Ezekieli akijiandaa kupambana na Mh.Ester Bulaya
Baada ya mpambano wakakumbatiana
Bondia wa Kenya akiwa chini
Chege Chigunda
“Dansa wa wasafi
Diamond akifanya yake
Francis Miyeyusho akiwa amebebwa na Kalapina baada ya kushinda kwa KO
“H.Baba akitoa burudani, alipata shangwe za kutosha
Hapa mpambano ulivyokuwa mkali
Hapa sasa Makonde ya kaanza nipe nikupe
Huo ndo umati uliojitokeza
Jack Wolper akijiweka sawa”
Mabondia kutoka Kenya Patrick Amonte na Shadrack Muchanje wakati wa Wimbo wa Taifa
Mabondia wa Tanzania wakati wa Wimbo wa taifa Francis Miyeyusho na Thomas Mashali
Matokeo na huku pia yalikuwa ngoma dro
Matokeo yakawa ngoma dro
Halima Mdee akiingia kupambana na Wolper
Prezzo akiwa na dancers wake kutoka Kenya, walifanya show kali sana
Prezzo alipagawisha sana
Ray akicheka baada ya kuambiwa Zitto hayupo
Rey akiwa tayari kupambana na Mh.Zitto Kabwe lkn hakuwepo
“Ray Kigosi akiingia ulingoni
Temba na Bibi Cheka
“Waheshimiwa Nasari,Mdee,Bulaya kwa pamoja wakifurahi
“Aunt akijiweka sawa