Burudani

Picha: Tattoo mbili za Malaika na maana zake

Msanii wa Bongo Flava, Malaika ameleeza sababu kuchora tattoo katika mwili wake na maana zake.

Muimbaji huyo ambaye ana tattoo mbili ambazo zipo katika mkono na mguu amesema pindi anapovutia na ua la aina yoyote hupenda kuchora.

“Kuhusu tattoo I don’t know nimejikuta tu nimependa tu tattoo, hazinaga maana yoyote ninapoona kuna au nimelipenda nachora.” Malaika ameiambia Bongo5.

“Tattoo yangu ya mguu naipendaga kwa sababu nikiwa naingalia nahisi kama ni manyoya yanapita nakuishi huko juu na mambo mengine yanaendelea,” ameongeza.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents