HabariUncategorized

Picha: Tetemeko kubwa la ardhi laua watu Mexico

Nchi ya Mexico imekumbwa na tetemeko la ardhi linalotajwa kuwa na ukubwa wa nguvu ya 8.1 katika vipimo vya richa.

Kwa mujibu wa shirika la habari la CNN, limeripoti kuwa tetemeko hilo ambalo limetokea Usiku wa Ijumaa hii wakati watu wamelala limeuathiri zaidi mji wa Mexico City na Guatemala na limesababisha vifo vya watu watano na wengine kujeruhiwa pamoja na kuharibu nyumba na mali za watu.

Rais wa nchi hiyo Enrique Peña Nieto amesema, tetemeko hilo lilikuwa tetemeko la nguvu zaidi kutokea nchini Mexico katika kipindi cha miaka 100 iliyopita.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents