Michezo
Picha: Utambulisho wa Mbwana Samatta katika Klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji.
Nahodha wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta baada ya mvutano wa muda kati ya mmliki wa TP Mazembe Moise Katumbi kuhusu usajili ili ajiunge na klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji, January 29 ndio ilikuwa rasmi Mbwana Samatta katua katika klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji kwa Mkataba wa miaka minne na nusu.