Picha

Picha: Utengenezaji wa tangazo la TV la show ya Mwana FA ‘The Finest’

Rapper Hamis Mwinjuma aka Mwana FA leo alikuwa akishoot tangazo la TV kwaajili ya show yake ya tarehe 31 mwezi huu. Shughuli hiyo imefanyika kwenye mgahawa wa Akemi uliopo kwenye jengo la Golden Jubilee jijini Dar es Salaam. Pia Mwana FA kesho ataiachia rasmi ngoma yake iliyokuwa ikingojewa kwa hamu, Kama Zamani aliowashirikisha Wana Njenje na Man Dojo na Domo Kaya.

IMG_1046

Mwana FA ndani ya suspender
Mwana FA ndani ya suspender

IMG_0899

IMG_0887

IMG_0914

Jamaa wa Crew
Jamaa wa Crew
Sheria Ngowi akiwa na msaidizi wake
Sheria Ngowi akiwa na msaidizi wake
Mrembo atakayeonekana kwenye tangazo hilo
Mrembo atakayeonekana kwenye tangazo hilo

IMG_0947

IMG_1017

IMG_1015

IMG_1010

IMG_0971

IMG_1021

IMG_1025

IMG_1031

IMG_1032

IMG_1039

IMG_1042

IMG_1037

IMG_1036

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents