Picha: Uzinduzi wa Jack Honey wafana jijini Dar
Ijumaa iliyopita mastaa mbalimbali walijumuika na watu wengine kwenye uzinduzi wa kilevi cha Jack Daniel’s kilichotengenezwa kwa asali, Jack Honey. Uzinduzi huo ulifanyika High Spirit Lounge iliyopo kwenye jengo la IT Plaza jijini Dar es Salaam.
Uzinduzi ulihudhuriwa na warembo matata kama hawa
Uzinduzi huo uliandaliwa na kampuni ya Archipelago Productions ambayo CEO wake ni Sarah Scott wakishirikiana na wasambazaji wa Jack Honey, Mark Techno Ltd. Mastaa waliohudhuria uzinduzi huo ni pamoja na Lady Jaydee, Wakazi, Gosby, Cindy Rulz, Grace Matata na wengine.
Lady Jaydee ni miongoni mwa mastaa waliohudhuria uzinduzi huo
Uzinduzi huo ulipambwa na performance kutoka kwa kundi la 909 na Weester. Kundi la 909 linaundwa na members watano, Kiche, ICY, Ronny, Agogo na Mswati.
Rapper Kiche wa kundi la 909 akishusha mistari
Tazama picha zaidi za uzinduzi huo.
Warembo wakiwashuhudia vijana wa 909 wakitumbuiza
Chupa murua ya Jack Honey
Gosby akiwa na washkaji wa 909
Gosby, Cindy Rulz na Wakazi
Grace Matata (kushoto) akiwa na mmoja wa washkaji zake
Member wa kundi la 909, Ronny akitumbuiza
Member wa kundi la 909, Agogo
Menina Atick
Kiche wa 909
Mpiga picha mahiri, Osse Sinare
Mrembo akicheza muziki uliokuwa ukishushwa na DJ Vasley
Mrembo akifurahia performance ya kundi la 909
Mtangazaji wa zamani wa Choice FM, Thand Kathembe akifurahia uzinduzi
Rapper wa kundi la 909, ICY akiwa kazini