Picha: Uzinduzi wa movie mpya ya Lulu ‘Foolish Age’
Muigizaji wa filamu, Elizabeth Michael maarufu kama Lulu, jana amezindua filamu yake mpya iitwayo Foolish Age. Uzinduzi huo umefanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na waigizaji wenzake pamoja na wadau wengine wa filamu Tanzania. Kwenye uzinduzi huo Lady Jaydee alitoa fora kwa burudani iliyowainua juu watu waliohudhuria. Amini na Barnaba nao walitumbuiza. Tazama picha za ndani ya ukumbi jinsi uzinduzi ulivyoenda.
Batulli na Sandra
Emmanuel Myamba
Washereheshaji wa shughuli nzima, Godwin Gondwe na Sandra Brown Temu wa Times FM
Kajala akiwa na shoga yake Wema Sepetu
Producer wa Jikubali ya Ben Pol, Lucci Da Don akiwa na ubavu wake
Lulu akiongea machache
Lulu akiwashukuru walioenda kusupport uzinduzi wa filamu yake mpya
Mama Kanumba akilia machozi baada ya kukutana na Wema
Martin Kadinda akiwa kwenye meza ya Wema
MC Godwin Gondwe aka Double G
Mzee Chilo akiongea na Kajala
Nisher in da building
Ramsey Hashim na Mzee Chilo
Wema akifurahia uzinduzi
Wema akimkumbatia mama Kanumba
Wema alimtuza Mama Kanumba fedha nyingi sana