Michezo
Picha : Victor Wanyama anazidi kula bata Bongo
Mchezaji wa timu ya taifa ya Kenya na Tottenham Hotspur ya Uingereza, Victor Wanyama aliyetua Bongo siku chache zilizopita ameonyesha kuvutiwa na Bongo.
Kungo huyo wa kati katika timu ya Tottenham ameonekana akitalii kwa kukodi boti binafsi na kuenjoy pamoja na msanii wa muziki mkongwa nchini A.Y. Hizi nii baadhi ya picha za mchezaji huyo akila bata.
Na Laila Sued