Habari
Picha & Video: Mh. Mtulia alivyokabidhiwa kadi ya unachama wa CCM leo
Aliyekuwa Mbunge wa Kinondoni kupitia CUF, Maulid Said Abdallah Mtulia akabidhiwa rasmi kadi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) katika ofisi za chama hicho Kinondoni, Dar es salaam.
Disemba 2 mwaka huu, Mh. Mtulia alitangaza kujiuzulu nafasi ya zote za uongozi ndani ya chama hicho na kujivua uanachama.