Picha: Wakazi wa Mwanza wajitokeza kwa wingi kwenye semina ya fursa
Wakazi wa jiji la Mwanza leo wamejitokeza kwa wingi kwenye semina ya fursa iliyofanyika kwenye ukumbi uliopo kwenye hoteli ya Golden Crust jijini humo. Miongoni mwa waliokuwa wasemaji kwenye semina hiyo ni pamoja Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia January Makamba,Naibu Waziri wa Nishati na Madini,Stephen Masele, DC wa Iramba Yahaya Nawanda, muigizaji wa filamu Elizabeth Michael aka Lulu na wengine.Tazama picha za namna semina hiyo ilivyokuwa.
Mwigizaji wa filamu Elizabeth Michael aka Lulu akiteta jambo na Mrisho Mpoto katika ukumbi wa fursa
Darasa la fursa likiendelea katika ukumbi wa Hotel ya Golden Crust Mwanza
Dc wa wilaya ya Iramba Yahaya Nawanda akimpongeza Mwanadada Lulu baada kuongea katika semina ya fursa
Sebastian Ndege akizungumzia fursa ya kubadili elimu
Lulu akipongezwa baada ya kuongea na wakazi wa Mwanza
January Makamba akiingia kwenye ukumbi wa fursa
January Makamba akimpongeza Lulu baada ya kuongea
January Makamba akiwasili katika semina ya fursa
January Makamba akizungumza jinsi ya kuongeza thamani
Mkurugenzi wa utafiti n vipindi wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba akimlaki Lulu baada ya kuongea katika semina ya fursa
Nick wa Pili akiongea na wakazi wa Mwanza
Mwanadada Mwasiti akiwa na Salim Waziri akizungumza fursa zitokanazo na NSSF
Lulu akiteta jambo na Mrisho Mpoto katika ukumbi wa fursa
Naibu Waziri wa Nishati na Madini,Stephen Masele akimlaki mwanadada Lulu
Naibu Waziri wa Nishati na Madini,Stephen Masele akiwa na mmiliki wa Gold Crest Hotel, Mathias Manga
Stephen Masele akizungumza na wakazi wa Mwanza
Salim Waziri akizungumzia fursa zitokanazo na NSSF
Salim Waziri wa NSSF akizungumza na wakazi wa Mwanza
Wakazi wa Mwanza wakifuatilia semina ya fursa katika ukumbi wa Hotel ya Golden Crust Mwanza