Picha

Picha: Wamarekani waingia mtaani kuandamana baada ya muuaji wa Trayvon Martin, George Zimmerman kuachiwa huru

Rais wa Marekani, Barack Obama jana amelazimika kuomba hali ya utulivu nchini humo kufuatia kuachiwa huru kwa George Zimmerman anayedaiwa kumuua kwa kumpiga risasi kijana mwenye asili ya Afrika, Trayvon Martin.

130713222937-01-zimmerman-reaction-0713-horizontal-gallery
Mwanamke akilia kwa uchungu

130713223423-02-zimmerman-reaction-0713-horizontal-gallery
Vilio na maandamano

Katika maelezo yake, Obama alikiita kifo cha Martin kama janga la Marekani lakini alisisitiza “sisi ni taifa la sheria, na majaji wamezungumza.”

“Namuomba kila Mmarekani kuheshimu wito wa utulivu uliotolewa na wazazi wawili waliompoteza kijana wao mdogo,”alisema.

130713224613-05-zimmerman-reaction-0713-horizontal-gallery

> on July 13, 2013 in Sanford, Florida.

130713230019-07-zimmerman-reaction-0713-horizontal-gallery

> on July 13, 2013 in Sanford, Florida.

130714000147-10-zimmerman-reaction-0713-horizontal-gallery

130714001037-11-zimmerman-reaction-0713-horizontal-gallery

Kundi la watu maalum mahakamani (jury) jimboni Florida nchini humo, Jumamosi usiku liliamua kuwa Zimmerman, aliyekuwa kwenye zamu ya kulinda usalama katika maeneo anayoishi, kuwa hana hatia kwa kosa la mauaji ya Martin, 17, aliyekuwa akipita usiku huo February mwaka jana.

130714012405-12-zimmerman-reaction-0713-horizontal-gallery

130714012638-13-zimmerman-reaction-0713-horizontal-gallery

130714012908-14-zimmerman-reaction-0713-horizontal-gallery

130714013028-15-zimmerman-reaction-0713-horizontal-gallery

130714013402-17-zimmerman-reaction-0713-horizontal-gallery

130714132509-02-zimmerman-0714-horizontal-gallery

> on July 14, 2013 in New York City.

130714222309-19-zimmerman-reaction-0714-horizontal-gallery

130714222312-20-zimmerman-reaction-0714-horizontal-gallery

Kesi hiyo ilikuwa imechukua hisia za watu wengi nchini Marekani na ilikuwa ikihusisha suala la ubaguzi wa ragni. Kutokana na kesi hiyo, maelfu ya watu nchini kote wameingia mtaani kupinga hukumu hiyo na wengine walikusanyika nje ya Ikulu ya Marekani.

130714222315-21-zimmerman-reaction-0714-horizontal-gallery

article-2362973-1AD0DCA2000005DC-622_634x451

article-2362973-1AD0DCCF000005DC-581_634x440

article-2362973-1AD0DE16000005DC-753_634x431

article-2362973-1AD0E09C000005DC-252_634x805

article-2362973-1AD0E084000005DC-36_634x430

Maandamano bado yanaendelea na huenda kesi hiyo ikaangaliwa tena.

Picha zaidi:

article-2362973-1AD0E090000005DC-312_634x446

article-2362973-1AD0E193000005DC-132_634x913

article-2362973-1AD16B31000005DC-708_634x434

article-2362973-1AD16B88000005DC-801_634x545

article-2362973-1AD16C63000005DC-180_634x504

article-2362973-1AD16F8F000005DC-624_634x767

article-2362973-1AD16F67000005DC-440_634x423

article-2362973-1AD16FC0000005DC-621_634x417

article-2362973-1AD17E40000005DC-776_634x423

article-2362973-1AD18ACC000005DC-526_634x423

article-2362973-1AD18C61000005DC-684_634x460

article-2362973-1AD18C76000005DC-547_634x423

article-2362973-1AD19D43000005DC-469_634x403

article-2362973-1AD161DB000005DC-999_634x426

article-2362973-1AD187F0000005DC-417_634x690

article-2362973-1AD189AD000005DC-861_634x431

article-2362973-1AD192AE000005DC-616_634x422

article-2362973-1AD192EE000005DC-593_634x422

article-2362973-1AD1603D000005DC-87_634x455

article-2362973-1AD1780B000005DC-718_634x424

article-2362973-1AD1940A000005DC-56_634x632

article-2362973-1AD16423000005DC-866_634x453

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents