Bongo Movie

Picha: Wasanii wa filamu wafanya misa ya kumbukumbu ya kifo cha Rachel Haule

Wasanii wa filimu nchini wakiongozwa na Odama, Ijumaa hii wamefanya misa ya kumbukumbu ya kifo cha msanii wa filamu Rachel Haule.
cccc
Wasaii wakiwa mbele ya kaburi la Rachel Haule

Wasanii mbalimbali kama Ray Kigogo, Odama, Esha Buheti Steve Nyerere, Sabrina Rupia, Maya Mrisho, Senator Msungu Richie Mtambalike, JohariChagula pamoja na Lamata walihudhuia misa hiyo ambayo ilitawala majonzi.

Kupitia instagram, Odama aliandika:

Kumbukumbu ya majonzi inaumiza sana moyo wangu, nilikupenda ila Mola kakupenda zaidi, Ni kweli sasa nazidi kuamini dunia hii ni matembezi wote tukumbukeni sala. Pengo la rafiki yangu kipenzi Rachel hakuna wa kuliziba… Sijui nisemeje… Hapa niko kwenye nyumba yako ya milele nashindwa kuvumilia…unajua jinsi gani ulikuwa wa umuhimu kwangu… kutoka moyoni nimekukumbuka Sana RACHEL wangu, Mbele Yako Nyuma Yetu, Mungu Ailaze Roho Yako Mahali Pema Peponi… Amina🙏

ggg

gggcc

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents