BurudaniPicha

Picha: Wasanii waliotajwa kuwania tuzo za Afrima 2016 watembezwa kuujua mji wa Lagos

Tuzo za mwaka huu za All Africa Music Awards 2016 zinatarajiwa kufanyika Jumapili hii kwenye ukumbi uliopo kwenye hoteli ya Eko ya jijini Lagos Nigeria.

img_2405

Nimekuwepo huku Nigeria kuanzia Ijumaa hii na maandalizi yake ni kuvutia. Kabla ya tuzo zenyewe leo, kumekuwepo na matukio ya utangulizi ikiwemo show ya Afrima Music Village siku ya Ijumaa. Jumamosi, wageni ambao wengi wao ni wasanii waliotajwa kuwania tuzo hizo kutoka nchini mbalimbali za Afrika, walizungushwa katika mji wa Lagos kufahamu maeneo muhimu katika mji huu.

img_2402

Miongoni mwa sehemu waliyopewa maelezo ya kihistoria ni katika eneo lililotumiwa na wakoloni, Freedom Park. Tazama picha Zaidi.

img_2403

 

img_2416

img_2420

img_2422

img_2425

img_2426

img_2431

img_2433

img_2436

img_2437

img_2441

img_2393

img_2400

img_2401

 

img_2389

img_2392

img_2372

img_2373

img_2411

img_2376

img_2375

img_2380

img_2379

img_2378

img_2374

img_2372

img_2371

img_2370

img_2369

img_2398

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents