Picha

Picha: WrestleMania XXIX – John Cena amgalagaza The Rock na kuwa bingwa wa WWE

Mashabiki wa John Cena wamefurahi wiki hii baada ya juzi (7 April) kumshinda mpinzani wake Dwayne “The Rock” Johnson kwenye WrestleMania XXIX.

wrestlemania-xxix-01

wrestlemania-xxix-02

wrestlemania-xxix-03

Kutokana na ushindi huo, Cena kwa sasa anashikilia ubingwa wa WWE. The Rock alikuwa akijiamini sana kabla ya mechi hiyo kwa kutweet, “Its on. Biggest #Wrestlemania of all time. Greatest night of my career.”

wrestlemania-xxix-04

wrestlemania-xxix-06

wrestlemania-xxix-07

wrestlemania-xxix-08

wrestlemania-xxix-09

Baada ya mechi hiyo, kupitia Facebook leo The Rock ameandika:

“Sometimes you pay the price..Midway thru my Wrestlemania match I tore my Abdominal & Adductor tendons off my pelvis. Yeah.. that shit hurt.;)

Thank you Dr Lee Kaplan & Univ of Miami medical staff for the exceptional work. Rehab starts in 3..2.. BRING IT.”

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents