Bongo Movie

Picha ya Bushoke iliyozua Gumzo hii hapa

Baada ya msanii wa filamu na muziki wa bongo Flava Hemedi kumtupia wingu Bushoke na kusema alimuona Bushoke akiwa kwenye pozi la picha liliomletea hisia tofauti na kana kwamba Bushoke hayuko sawa, Bongo5 ilitinga kwenye file zetu na kuikuta picha ya Bushoke ambayo imeleta gumzo jijini.

Picha hii ambayo ilipigwa miaka kadhaa iliyopita inamuonyesha Bushoke katika enzi zake za kuanza muziki akiwa na swagga tofauti kidogo najinsi ambavyo yuko leo.

Wadau wengi kwenye industry wameipokea picha hii kwa hisia tofauti huku wengi wakiwa wanamshangaa msanii huyo wa longtime hit ‘Barua’.

Wadau mnaionaje?

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents