Picha inayomuonyesha mtangazaji mahiri wa kipindi cha Jahazi cha Clouds FM, Gadner G Habash akiwa na mwanae Karen imezua gumzo kwenye mitandao kutokana na watu kutafsiri tofauti.
Kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram, Gadner ameweka picha ambayo amerepost kutoka katika akaunti ya binti yake Karen ikiwa inaonyesha akiwa amemkumbatia mtoto wake huku wakiwa wamelala kwenye kochi ndipo watu wakatafsiri kama watu ambao wapo kwenye mahusiano.
Lakini baada ya picha hiyo kwenda katika mitandao ya kijamii ilileta gumzo na kusemewa maneno mengi sana huku wadau na baadhi ya mashabiki wakisema kuwa hayo sio maadili ya kitanzania hasa kwa baba na binti yake.
Video ikimuonyesha baba Gadner akiwa na mwanae Karen wakipata chakula pamoja
Mambo ya kizungu hayo
Daddy n daughter
Mambo gani sasa, waswahili bwana!
Kawaida
Yaani ukiwa baba utakiwi kugusa mwanao ema kukaa nae
Acheni ujinga
David Beckham alipokua na familia yake serengeti kamu kiss binti wake wengine povu liliwatoka tena
Hamuna kosa hapo kwa sababu ukitazama iyo picture vizuri nikama walikua natizama tv mtoto kazidiwa na usingizi sijuwi baba kaja kamufukika na kukaa karibu yake
Cha Kushangaza ni nini hapo
Nonsense
Baba namwana Nzuriii
Bahazi ya watu ni wajinga bwana
Kawaida tu
Ikili zetu bwana ahahh🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Safi sana
Hamshindwii
gumzo la nini sasa
Afrika bhana
Mambo mengine ni upuuzi,yaaani nisikae na mwanangu kisa maadili,yaaan mtoto nianze kum badilisha nepi akiwa mchanga,nimuogeshe akiwa mchanga ,amekua mtu mzima ndio maadili yanaonekana, amabae anasema sio maadili hao ndio wakiachwa na watoto wao wanawaza usheitwan
acheni ujinga bongo5 na bongo kiujumla nn kibaya hapo
Ndugu kila Jambo lina kiasi chake.
Hamjui vile baba na mtoto wake wakike wanakaupendo flani ivi kakuzidi ila sio huko mnakofikiria nyie..its very normal uku USA (united state of Arusha)
Nyie kama hamna habari za maana fungeni hii media,kuliko kuandika ujinga huu..mtu kakaa ndani na familia yake mnamfatilia
This is true love of dad n daughter/son, wacheni kuwa na fikra potofu
Anakula chake ..mbona fresh 2
Usitetee ujinga kisa naww una mtoto wakike unamkumbatia kumbatia apo afu upitilize mpaka anabalehe bado unamkumbatia mtakuja kuwatafuna wanenu nyie
gumzo gan asa apo
Udhungu
ngoja amkojoze ndo atatia akili shwain kabsaa mnajifanya wazungu sio
Ndio inabidi tutambue na tukubali kwamba kila jambo lina wakati wake hasa kuhusu ukuwaji wa binaadam/ukiwa mtoto uliweza kutembea uchi bila shida na hakuna wa kukushangaa lakini jaribu leo ukiwa mtu mzima tukuone
Hayo ni mapenzi ya baba na mwana.mwacheni Captaiiiin
Uko sahihi…lakini usimtaje beckam huyo ana utamaduni wake
Ni hatari sana kutumia muwa kama mkongojo ipo siku utasikia njaa utautafuna
Endelea kumkumbatia wakati nae ana hisia utakuja kushangaa imooo
Safi tu
Iko fresh tu bongo usenge tu kla saa kiwaza ngono tu yaan mtoto acdeke.kwa baba ake ksa tu ana kubwambwa angekua wa kiume anadeka kwa mama ake hapo cjui mngeaema tena ukiona baba anawaka hisia za kmapenz kwa mwanae bac jua waz c yeye n Pepo
Yazua gumzo!? Kipi cha ajabu hapo ‘si mtoto wake huyo! Endeleen kufikilia vitu vya kipuuz
Wa bongo bana
Akili isiyo na shughuli ni hekalu la shetani. Acheni Mawazo potofu.
Kwaiyo kwa umr uo wa bnt baba anaweza mtawaza au unaropoka tu??
Uckarr ao kna Beckham wanaoana mpk wanaume kwa wanaume kwa akl yko utaona sawa ksa wao wamefanya co kla KTU cha kuiga
Dah mtoto mzuri mnooo
Ongeza speed kidogo kufikiria utagundua kua kunatofauti kati mtoto mdogo na mtu mzima
Hap mswahili utamjua tu hayo mapenz ya baba kw mtoto kip cha ajab xaxa
Yani watu bwana…. « waheshimiwa ku tafsiri na kubadilisha mambo….» hamjambooooo
Baba na mwanae kukua hivyo kuna shida gani???????
Mkumbatie mwanoa na we binti mkumbatie babako…. huyo ndio rafiki yako wa kweliiiiiiiii….. ❤❤❤❤❤❤
Mwacheni ale mayai take
Mwachen ale mayai yake
kula kuku na mayai yake😋
Binti yake mkubwa hawezi kuwa nae namna hiyo sababu hata yy binti tayari ni mkubwa na ameisha kuwa na hisisia za kimwili hivyo kumshika namna hiyo hakuleti maadili mema kwa Waafrika.
Joseph Maro Hakika wewe sio mzazi
Mimi nilisha muona baba na mtoto wakivunja amri ya 6 hivyo tusikatae binti yako ukisha muona kwa macho ya kiutu uzima ameanza kuwa na hisia za kimwili Karibu kuepuka baadhi ya vitu na ukaribu usio wa lazima kama hivyo
us f arusha😊😊😊😊
Mapenzi bana tutajua aje.
Ila nikweli shetan anamajaribu
Mmmh,haikujii akilini
Halafu mbona huyo baba mwenyewe kama matingas hatuko ulaya hapa nifrika lazima mjijue asitake kuunga mkono mambo ya mbele kuiga ujinga tu hizo ndodalili mbaya kesho kapakatwa na baba wa mwenzie anaona sawa tu kwasababu alisha zoea et
Umenena
Sidhani hapa kama kuna ukakasi hata kidogo. Huyo ni baba ambaye yupo na binti yake aitwaye Caren sasa mtoto ameamua ‘kudeka’ kawa baba yake shida ipo wapi?! Wakati mwingine tuache kuhoji vitu vidogo vidogo namna hii wananzengo.
Nakubaluana nawe Jackson magezi kwa sabb kwanza utambue wanaume maumbile yenu ni mafupi mno kwayo na mioyo ivo ivo. Utafanya alafu baada ya kitendo unaanza kujuta na kwenye kujuta unaendelea ndani kwa ndani alafu unajitia moyo kuwa hawanioni watu unaendeleza ka mchezo mpaka kanakomaa uwiiii mwaume hautakiwi kuwa karibu kiivyo na bindi yako ok
Mmmh yajayo yanafurahisha sana
Jinga yani asikae na mwanae kisa nn
Upuuzi mtupu cha kuandka hakuna? Watu wanataabka hawana maji, hospital nk kwann msiandke kuhusu mambo ya maendeleo kulko kufuatilia maisha ya mtu binafs
Lazima izue gumzo coz hii xtail ya haya maixha co type yetu kiukwel waafrica
Yes kweli
Acheni mawazo potofu je angemkalia mapajani si ndio mngealisha kabisa sasa hapo kuna nn cha ajabu mtoto kumuegemea baba loh
Kwahiyo mnataka mseme anamla mtoto ake?.mnazngua
Pumbafu wewe
Mmmh 😭😭😭🏃🏃
Ha ha ha
BABA Kala yai
Tatizo linakuja Yule Bint kapita kwenye utoto NA Captain mtu wa vyombo na baridi hii najamaa yupo single
kwa hiyo unaweza kukaa uchi mbele ya mama yako Mzazi kwa umri ulionao Sasa kwa kuwa tu ulipokuwa mdogo alikuosha na kukuvisha nepi ?
Salum Silimu unajuaje km jamaa yupo single kaka kua kwenye uhusiano c mpaka ww ujue,
Na kmginga mwanao n.ktaka c kwamba ukiwa nae karb ndo unakua na uwezekano huo
Waswahili… Obama anafanya hivyo hivyo. Sio nangwa mswahili nongwa
Mashaka
Mmmh baba mwenyewe kapandisha hadi flana kuna namna hapo
Bin Maaruf Acha akili za kitoto, usi tafsri jambo kama lilivo ongeza akili ya ubongo wako, point hapo ilikua watu wanasema sio maadili,hivi mzazi unaweza mtamani mwanao? Kama mtoto wako ulie mzaa unaweza mtamani Basi hata mzazi wako hushindwi mtamani, kwahiyo wewe ukipiga picha na mama yako itakua ni maadili mabovu? Acheni akili fupi
Gumzo gani waacheni watu namaisha yao mtafanya tuogope kukaa nawatoto wetu sasa
Asante Varrysanga Naseeb
Mapenzi ya ukweli siku zote hayajifuchi
Kk mashaka ya nini wakati ni mtoto wake?
Nakusoma mkali
Alafu njaa itaisha au utamaliza kiu
Watanzania sijui kwa nini tunapenda sana kuendekeza akili za kipuuzi maana Mimi binafsi sielewi hayo mashaka yanakuja vipi…..alafu pia hao ambao wanamashaka hawajiulizi aliepiga hio picha alikua hapo amekaa na wao??
Huyu jamaa ni mlevi wa kupindukia ndio sababu ya kuachana kwakwe na jide imefikia hatua mbaka alikuwa anatembea na wananyakazi wa nyumbani lodge ya lad Jaydee kipindi kile pata picha mtu anaethubutu kutembea na wafanyakazi wake #mabaamedi #mento awezi shindwa kutembea hata na binti yake mlevi akishalewa awezi shindwa fanya chochote wakati wowote saa yeyote fikiria Kwa umri wa huyo binti siwakukaa na baba yake karibu hivyo hasa kipindi hiki cha baridi #atamwachaje_kwa_mfano
Kibongo sio utamaduni. We ushakua mzungu kaka
Juma Mohamed kk huwezi sikia hisia kwa mtoto wako kk,ukiona hivyo utakuwa unamatatizo,ni njia moja wapo ya kuwa karibu na mtoto wako
Mh kawaida 2
Pamoja sana Kizito Kalumuna Charles
Kimsingi hayo na maadili mabovu na kwa uhuni wa vijana hawa wa mjini lazima utata uwepo
Hakuna baba anaye mwazia mabaya mtoto wake otherwise mganga kahusika
Hii picha haina tatizo kabisa na hata picha yenyewe inaonekana wamepigwa na MTU tatizo ni nini?
Mbona mnashindwa kumuwaza aliyepiga hii picha jaman acheni ujinga
Akili zako ndogo Sana kma punje ya radani 😎😎😎😎
Napita tuu
Akili za kibongo zimekaa kizinzi sana ndiyo maana kila picha ya mwanaume na mwanamke tafsiri ya kwanza ni mahusiano ya kimapenzi,mara ngapi tumepiga picha tumewakumbatia wazazi wetu,au kwa sababu Gadner hana mke na binti yake ni binti wa pekee?kuishi kwa masharti na watoto kumesababisha waharibikiwe sana katika maisha.
Mhhhhh,mm enyewe nlikuwa nampenda dady Wang hatar
This is Africa!! Mambo ya wenzetu tuwaachie yao..! Kwa culture za kwetu captain umeferi
Hii sasa too much…. Watu wasikae na familia
Sasa tufanyaje Kama imezua gumzo?
Sasa hapo wamelala au mtoto kalala?
Hii picha wamepigwa na mtu hawajajipiga. Aliyewapiga ni nani?.
We ukapimwe mkojo