Diamond PlatnumzPicha
Picha ya gari la Diamond baada ya ajali
Juzi Diamond akiwa na gari lake alipata ajali (ya kawaida) ambayo ilisababisha sehemu ya mbele kuharibika. Kwa mujibu wa meneja wake, Raqey Mohamed wa I-View Media ajali hiyo ilisababishwa na mwendesha pikipiki ambapo hata hivyo amesema hakuna aliyeumia. “There is nothing serious lakini,” ameiambia Bongo5.
Photo Credit: Dj Choka