Burudani

Picha ya mtoto wa Patoranking yazua utata mtandaoni

Ikiwa imepita kama wiki toka msanii wa muziki nchini Nigeria, Pantoranking kuweka bayana anatarajia kupata mtoto na mpenzi wake, hatimaye msanii huyo ameweka picha akiwa na mtoto wake.

Kwa mujibu wa picha aliyowekwa na msanii huyo katika mtandao wa Instagram imeonyesha akiwa na familia yake hiyo, hata hivyo picha ya mtoto huyo imezua utata kwa baadhi ya mashabiki na kusema kuwa mtoto huyo sio wa kuzaliwa leo kwani ni mkubwa kulinganisha na taarifa alivyoitoa hapo awali.

prince_elliot1 The baby big pass two months baby oh
atemidire Congrats for new Bady may god the Bady
blessingrex5 Congrats
badgerbling Legend are born…..congratulation bro
mtsabha_sa South African baby ?
morraine23 That baby don’t look like a newborn sha
mz_krimee Dis baby is newly born??

Picha iliyowekwa na msanii huyo pia imeweza kuza zogo katika mitandao mbalimbali ya nchini Nigeria ikidai huwenda hiyo ni moja ya vipande vinavyopatikana katika video ya ngoma yake mpya.

Na Laila Sued

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents