BurudaniUncategorized
Picha za mabusu za Selena Gomez zampa hofu The Weeknd
Msanii na muigizaji kutoka Marekani Selena Gomez ameanza kumpa wasiwasi mpenzi wake, The Weeknd baada ya picha zake akiwa anapigwa busu na kijana mwingine kunaswa.
Picha hizo zilimemuonyesha mrembo huyo aliwa katika ulimwengu wa mahaba na kijana Timothee Chalamet, ambaye ni muigiza tamthilia kama ‘Homeland’ pamoja na filamu ya ‘Interstellar’. Hiyo ni moja ya scene itakayopatikana katika filamu inayotengenezwa na Big Apple .