Tragedy

Picha: Zaidi ya watu 70 wapoteza maisha kwenye ajali mbaya ya treni nchini Hispania

Ajali mbaya ya treni iliyotokea Kaskazini Magharibi mwa Hispania imesababisha vifo vya watu 77 na wengine zaidi ya 100 kujeruhiwa. Ajali imetokea kwenye mkoa wa Galicia na treni ilikuwa na abiria 218.

Baadhi ya majeruhi
Baadhi ya majeruhi

Majeruhi
Majeruhi

Shughuli za uokozi zikiendelea
Shughuli za uokozi zikiendelea

Mabehewa yote nane ya treni hiyo iliyokuwa ikitokea Madrid kwenda Ferrol yameanguka karibu na jiji la Santiago de Compostela. Vyombo vya habari vimeripoti kuwa chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi.

spain-train-9_2626778b

spain-train-10_2626793k

spain-train-11_2626794k

spain-train-12_2626795k

spain-train-13_2626796k

spain-train-14_2626797k

spain-train-15_2626798k

spain-train-night-_2626786k

spain-train-night_2626787k
Hata hivyo maafisa wa serikali wanasema wanaamini hiyo ni ajali tu.
Tayari miili 73 imeshatolewa kwenye eneo la ajali wakati wanne wengine walifariki wakiwa hospitali.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents