Habari

Picha: Zari the Bosslady aonesha ujauzito wake ulivyokua kwa mipasho ya haja!

Zari The Bosslady ameshakuwa mswahili na huenda Taarab ikawa ni muziki anaousikiliza sana kwa sasa. Hiyo imeonekana kwenye picha nne alizopost (moja akiwa na mchumba wake, Diamond Platnumz) kwenye mtandao wa Instagram kuonesha jinsi ujauzito wake ulivyokuwa mkubwa. Tazama picha hizo na kile alichoandika.

11260430_123341838006995_1936020447_n
Alichoandika: Namaumivu yakizidi………. Wishing you all blessed week ahead, Good nyt
11373653_943084819082779_1562587470_n
Alichoandika: They say when you have it, flaunt it. Kwani kuna mtu kaibiwa??? Keeping it sexy and classy. #BabyBumpPhotoShoot

11351999_104770406541206_1765468179_n
Alichoandika: Kwa raha zetu…… vaeni madera, fungeni mikanda mpite kimya kimya Keeping it sexy and classy

11352117_525804417568038_2127135778_n
Alichoandika: Keeping it sexy and classy. #BabyBumpPhotoShoot

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents