Michezo
Picha: Zitazame jezi mpya za Chelsea
Jezi mpya za klabu ya Chelsea ambazo zitatumika katika msimu ujao zikiwa na nembo ya mdhamini mpya zimewekwa hadharani.
Jezi mpya za Chelsea watazotumia ugenini ni hizi
Udhamini huu unaifanya Chelsea ivune pound milioni 40 ambapo watachota pound milioni 200 katika kipindi chote cha udhamini.
Udhamini huo wa Chelsea ni wa pili kuwa na thamani kubwa katika historia ya soka la England, huku Manchester United wanaolipwa pound milioni 53 kwa mwaka na Chevrolet, wakiongoza.
John Terry, Oscar, Diego Costa, Thibaut Courtois, Willian and Eden Hazard wakipozi na jezi mpya za nyumbani