Videos

Picha/Video: Huddah Monroe akiwasili JK Nyerere International Airport – Dar

Dar es Salaam mko tayari kwa Huddah Monroe? Mrembo na mwakilishi huyo wa Kenya kwenye shindano la Big Brother Africa 2013 aka The Chase amewasili jijini Dar es Salaam leo asubuhi akitokea jijini Nairobi Kenya tayari kwa kuhost party kubwa ya katikati ya mwaka, Mid Year Bash itakayofanyika kesho Jumamosi pande za Elements.

IMG_6156
Huddah akiwa na mwenyeji wake, Arthur wa kampuni ya Unity Entertainment kwenye uwanja wa kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere jijini Dar es Salaam

Mid Year Bash imeandaliwa na kampuni ya SK Entertainment kwa kushirikiana na Unity Entertainment huku wadhamini wakiwa ni pamoja na Heineken, Vodacom na Bongo5. Kiingilio ni shilingi 20,000 tu.

IMG_6145
Huddah baada ya kuwasili

IMG_6154

IMG_6159

IMG_6160

IMG_6150

IMG_6149

Arthur na Huddah wakielekea kwenye gari
Arthur na Huddah wakielekea kwenye gari

IMG_6164

Huddah akiwaupdate mashabiki wake wa Twitter
Huddah akiwaupdate mashabiki wake wa Twitter baada ya kuwasili Dar

IMG_6166

Huddan na Arthur akielekea kwenye gari kwenda hotelini
Huddan na Arthur wakielekea kwenye gari kwenda hotelini

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents