Burudani

Picha/Video: Viongozi wa serikali, wasanii wamzika Ebby Sykes

Viongozi mbalimbali wa serikali, wasanii pamoja na wadau mbalimbali wa muziki jana wamemzika Mzee Ebby Sykes, baba yake na Dully Sykes kwenye makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam.

Mwili wa marehemu mzee Ebby Sykes ukishushwa chini
Mwili wa marehemu mzee Ebby Sykes ukishushwa chini

Akizingumza katika makaburi ya Kisutu kaka wa marehemu aliwashukuru viongozi, wasanii pamoja na wadau mbalimbali walioshiriki katika mazishi hayo. Mzee Ebby ambaye alikuwa msanii na mdau wa muziki alifariki siku ya Jumapili baada ya kusumbuliwa na vidonda vya mguu.

Mkuu wa mkoa Dar es salaam, Said Meck Sadiki, jaji mstaafu Warioba pamoja na Mbunge wa Bagamoyo Ridhiwani Kikwete pamoja na viongozi wengine wa serikali
Mkuu wa mkoa Dar es salaam, Said Meck Sadiki, jaji mstaafu Warioba, Ridhwani Kikwete pamoja na viongozi wengine wa serikali

Mzee wa Warioba akizungumza na Saidi Mack Sadiki (2)
Mzee wa Warioba akizungumza na Saidi Mack Sadiki

Kaka wa marehemu  Ebby Sykes akizungumza na kutoa shukrani kwa viongozi wa serikali, wasani pamoja na wadau mbalimbali waliojitokeza kwenye mazishi hayo
Kaka wa marehemu, Sykes akizungumza na kutoa shukrani kwa viongozi wa serikali, wasani pamoja na wadau mbalimbali waliojitokeza kwenye mazishi hayo

Kaka yake marehemu mzee Ebby Sykes akimpokea mkuu wa mkoa wa Dar es salam Saidy Macky Sadiki
Kaka yake marehemu mzee Ebby Sykes akimpokea mkuu wa mkoa wa Dar es salam Said Meck Sadiki

Dua maalum kwa marehemu Ebby Sykes
Dua maalum kwa marehemu Ebby Sykes

Dully akiingia kaburini kumzika baba yake
Dully akiingia kaburini kumzika baba yake

Dully Sykes
Dully Sykes

Msanii wa filamu Dude akitia udongo ndani ya kaburi
Msanii wa filamu Dude akitia udongo ndani ya kaburi

Ridhiwani akitia mchanga ndani ya kaburi
Ridhiwani akitia udongo ndani ya kaburi

Saidi Macky Sadiki akitia udongo  ndani ya kaburi
Said Meck Sadiki akitia udongo ndani ya kaburi

Tunda Man, Kassim Mganga wakiwa na wadau wa muziki
Tunda Man, Kassim Mganga wakiwa na wadau wa muziki

AY ,Baraka Da Prince akiwa na mdau
AY, Baraka Da Prince na DJ Venture

AY akiwa na wadau wake

Bushoke
Bushoke

Daz Baba akiwa kwenye mazishi
Daz Baba akiwa kwenye mazishi

Dude na wadau mbalimbali wa muziki
Dude mwenye miwani ni miongoni mwa mastaa waliohudhuria mazishi

TID akiwa  kwenye mazishi
TID akiwa kwenye mazishi

Tunda akiwa na wadau wa muziki

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents