Videos
Picha+Videos: The Finest – Mwana FA na wasanii wengine wakitumbuiza jukwaani
Rapper Hamis Mwinjuma aka Mwana FA, usiku wa kuamkia Jumamosi, June 15, amepiga show yake ya kihistoria ya The Finest iliyofanyika kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam.
Mwana FA akisindikizwa na wasanii kama Linah, Ben Pol, Dully Sykes, Man Dojo na Domo Kaya pamoja Maua Sama ametumbuiza live vibao vyake vyote vikali huku vyombo vikipigwa na Kilimanjaro Band. Hizi ni picha zinazomuonesha akiwa kwenye stage.
Ben Pol
Domo Kaya
Dully Sykes
FA na Ben Pol stejini
Linah akiingia jukwaani
Linah na FA wakiimba Yalaiti
Man Dojo na Domo Kaya
Man Dojo
Mashallah
Maua Sama
Mnajinua, Mnaniskia
Waziri akipiga kinanda