Burudani

Piere Likwidi alivyoibuka kwenye show ya Mbosso Tanga (Video)

Show ya Mbosso ambayo imefanyika Tanga usiku huu ilikuwa na matukio mengi, kabla ya Mbosso kupanda kuna wasanii wa Tanga ambao walipata fursa ya kuonyesha makeke yao hali ambayo ilimsababisha mchekeshaji Piere Likwidi kupanda jukwaani na ku-show love.

 

https://www.instagram.com/tv/CDVFpJUBlkF/?igshid=7z56swc1ecd

 

Likwidi amesema alifanya hivyo baada ya kukunwa na muziki wa msanii huyo.

Written and edited by @kaimitehassani

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents