Habari
Pipi kufanya Tour
Mwanamuziki Pipi hivi sasa yupo kambini kwaajili ya Tour ya kuzunguka baadhi ya nchi za Afika kutokana na kushinda katika Audition ya Organization moja ya kimataifa inayoitwa Flying Carpet iliyokuwa inatafuta Madancer, Mavocalist na Musicians.
Ameseka Katika kinyanyiro hicho kilichofanywa February 29, mwanadada Pipi aliibuka wanne na kuungana na wenzake katika Tour hiyo ya kuzunguka nchi za Afrika ikiwemo Ethopia na Kenya.