Poll: Video gani za bongo zilizotoka 2013 ni bora zaidi kati ya hizi? Diamond, AY & FA, Jux, Lucci, Ben Pol…..?
Miaka ya karibuni kumekuwa na maendeleo makubwa katika muziki wa Tanzania hususani upande wa video za nyimbo za wasanii wa bongo. Wasanii wengi wameanza kuelewa umuhimu wa kuwekeza katika kufanya video bora ambazo mwisho wa siku zinawasaidia katika kuwafungulia milango ya shows pamoja na tuzo.
Kipindi cha karibuni zimetoka video kadhaa ambazo zimefanya kuwe na ushindani mkubwa kutokana na kila director na msanii kufanya kazi kubwa na kuzifanya video hizo ziwe na ubora, lakini kama unavyojua panapokuwa na vizuri vingi lazima kila mmoja awe na mtazamo wake wa kile anachodhani ni kizuri zaidi.
Chukua muda wako kutazama video zifuatazo ambazo hazina siku nyingi sana toka zimetoka, halafu tuambie unadhani kwa upande wako ni video ipi inastahili kuwa bora kwa 2013?
Video hizi hazina mpangilio maalum, yaani hakuna ya kwanza wala ya mwisho katika mpangilio huu, lakini kura yako ndio itasaidia tupate nafasi ya kwanza hadi ya mwisho.
Diamond Platnumz – My Number One
Lucci – Sumu
Izzo Bizness ft. Barnaba & Shaa – love Me
http://www.youtube.com/watch?v=qyj_uGYd7OY
Vanessa Mdee – Closer
Mwana FA & AY – Bila kukunja goti
http://www.youtube.com/watch?v=Pag1GV8Vbcs
Jux – Uzuri wako
http://www.youtube.com/watch?v=rGmSwJZiYgA
Navy Kenzo – We do work
http://www.youtube.com/watch?v=uLKR1mZ4IS4
Lucci & Jokate – Kaka/Dada
http://www.youtube.com/watch?v=SGnJU3-gyvk
Ben Pol – Jikubali
Young Dee – Kijukuu
http://www.youtube.com/watch?v=sWaWrY7Oo4A
Gemine (Barnaba & Amini) – Why mimi
http://www.youtube.com/watch?v=x-HWLvCszhI
Feza Kessy – Amani ya moyo
Mwana FA – Kama zamani
http://www.youtube.com/watch?v=C3YMSSo0rrY
Lady JayDee – Yahaya
http://www.youtube.com/watch?v=KowHTymYM5g